.........BLOG HII BADO IPO KWENYE MATENGENEZO......

Jumanne, 1 Mei 2012

MATOKEO KIDATO CHA SITA 2012 YATANGAZWA



Katibu mtendaji Dkt. Joyce Ndalichako leo ametangaza matokeo ya form six,
Shule iliyoongoza ni MARIAN GIRLS ya Bagamoyo.

Pia amepunguza adhabu ya miaka 3 na kuwa mwaka 1, iliyokuwa imetolewa kwa watahiniwa waliobainika kufanya udangayifu wa matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2011.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni